forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
438 B
Markdown
16 lines
438 B
Markdown
# Stefana, Fotunato, na Akiko
|
|
|
|
Hawa watu pengine walikuwa baadhi ya waumini wa kwanza wa Korintho au wazee wa kanisa ambao waliokuwa watendakazi pamoja na Paulo.
|
|
|
|
# Stefana, Fotunato, na Akiko
|
|
|
|
Haya ni majina ya watu
|
|
|
|
# Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa
|
|
|
|
" walisababisha mafanikio yawepo japo ninyi hamkuwepo"Paulo alitiwa moyo kwa ujio wao.
|
|
|
|
# Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu
|
|
|
|
"Paulo alitiwa moyo walipokuja kumtembelea"
|