sw_tn/1co/16/17.md

438 B

Stefana, Fotunato, na Akiko

Hawa watu pengine walikuwa baadhi ya waumini wa kwanza wa Korintho au wazee wa kanisa ambao waliokuwa watendakazi pamoja na Paulo.

Stefana, Fotunato, na Akiko

Haya ni majina ya watu

Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa

" walisababisha mafanikio yawepo japo ninyi hamkuwepo"Paulo alitiwa moyo kwa ujio wao.

Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu

"Paulo alitiwa moyo walipokuja kumtembelea"