forked from WA-Catalog/sw_tn
438 B
438 B
Stefana, Fotunato, na Akiko
Hawa watu pengine walikuwa baadhi ya waumini wa kwanza wa Korintho au wazee wa kanisa ambao waliokuwa watendakazi pamoja na Paulo.
Stefana, Fotunato, na Akiko
Haya ni majina ya watu
Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa
" walisababisha mafanikio yawepo japo ninyi hamkuwepo"Paulo alitiwa moyo kwa ujio wao.
Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu
"Paulo alitiwa moyo walipokuja kumtembelea"