sw_tn/1co/15/27.md

693 B

ameweka kila kitu chini ya miguu yake

Wafalme walioshinda vita waliweza kuweka miguu yao juu ya shingo za adui zao waliowashinda. Kwa maneno mengine hapa inasema " Mungu amewaharibu kabisa maadui wote wa Kristo"

vitu vyote vimewekwa chini yake

Maneno haya yakisemwa kwa kauli tendaji ni kwamba " Mungu amavitiisha vitu vyote chini ya Kristo"

mwana mwenyewe atawekwa chini

Maneno haya yakisemwa kwa kauli tendaji ni kwamba " mwana mwenyewe atatiishwa"

mwana mwenyewe

Katika mistari ya awali neno " mwana" linamaanisha " Kristo" : kwa maneno mengine ni kusema " Kristo ambaye ni Mwana wa Mungu"

Mwana...Baba

Hivi ni vyeo muhimu vinavyofafanua uhusiano kati ya Yesu na Mungu.