sw_tn/1co/15/03.md

412 B

kwa umuhimu

inaweza kumaanisha 1) muhimu zaidi katika mambo mengi au 2) jambo la kwanza kutokea

kwa ajili ya dhambi zetu

" kulipa kwa ajili ya dhmbi zetu" au " ili Mungu atusamehe dhambi zetu"

kutokana na maandiko

Paulo ana rejea maandiko ya Agano la Kale.

alizikwa

Katika hali tendaji unaweza kusema "Walimzika"

alifufuka

Katika hali tendaji unaweza kusema " Mungu alimfufua" au "alifufuka"