sw_tn/1co/14/26.md

357 B

Nini kifuatacho basi,

"kwa sababu kila kitu nilichowaambia ni cha kweli, na hicho ndicho mnapaswa kukifanya"

atafasiri kilichosemwa

katika muundo tendaji ni kusema "tafasirini walichokisema"

kutafasiri...tafasiri

Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. Anagalia 2:12 kwa maelezo zaidi kuhusu "tafasiri"