sw_tn/1co/14/12.md

510 B

uthihirisho wa Roho

" muweze kufanya matendo yanadhihilisha kuwa Roho anawaongoza na kuwatawala"

takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa

" muwe na mafanikio makubwa katika kuwawezesha watu wa Mungu kumtumikia Yeye zaidi"

kutafasiri

Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja mpaka lugha nyingine. Anagalia 2:12 kwa maelezo zaidi kuhusu "tafasiri"

akili zangu hazina matunda

"Siyafamu maneno ninayoyasema"