sw_tn/1co/14/05.md

464 B

Yeye atoaye unabii ni mkuu

Paulo anasisitiza kuwa karama ya kutoa unabii ni kuu zaidi kuliko karama ya kunena kwa lugha. kwa maneno mengine "Anayetoa unabii karama yake ni kuu zaidi"

tafasiri

Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine

nitawafaidia nini ninyi

kwa maneno mengine "Sitawasaidia" au " nitakuwa sijafanya jambo lolote la kuwasaidia"