forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
464 B
Markdown
12 lines
464 B
Markdown
|
# Yeye atoaye unabii ni mkuu
|
||
|
|
||
|
Paulo anasisitiza kuwa karama ya kutoa unabii ni kuu zaidi kuliko karama ya kunena kwa lugha. kwa maneno mengine "Anayetoa unabii karama yake ni kuu zaidi"
|
||
|
|
||
|
# tafasiri
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine
|
||
|
|
||
|
# nitawafaidia nini ninyi
|
||
|
|
||
|
kwa maneno mengine "Sitawasaidia" au " nitakuwa sijafanya jambo lolote la kuwasaidia"
|