sw_tn/1co/12/09.md

563 B

humpa

Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji " Mungu hutoa"

kwa Roho mmoja

Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho Mtakati pekee.

aina mbalimbali za lugha

"uwezo wa kuongea lugha mbalimbali"

tafsiri za lugha

uwezo wa kutoa mafafanuzi ya lugha nyingine inayozungumzwa ambayo si lugha yako.

kufasiri

Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine

Roho ni yule

Paulo anawakumbusha wasomaji wake kuwa " Roho ni yule yule... Roho moja"