forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
563 B
Markdown
24 lines
563 B
Markdown
|
# humpa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji " Mungu hutoa"
|
||
|
|
||
|
# kwa Roho mmoja
|
||
|
|
||
|
Mungu hutoa karama kupitia kazi ya Roho Mtakati pekee.
|
||
|
|
||
|
# aina mbalimbali za lugha
|
||
|
|
||
|
"uwezo wa kuongea lugha mbalimbali"
|
||
|
|
||
|
# tafsiri za lugha
|
||
|
|
||
|
uwezo wa kutoa mafafanuzi ya lugha nyingine inayozungumzwa ambayo si lugha yako.
|
||
|
|
||
|
# kufasiri
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kufafanua kile anachosema mtu kwa lugha isiyofahamika kwa wengine. au kueleza maana za maneno kutoka lugha moja kwenda lugha nyingine
|
||
|
|
||
|
# Roho ni yule
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha wasomaji wake kuwa " Roho ni yule yule... Roho moja"
|