forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
657 B
Markdown
16 lines
657 B
Markdown
# Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya. kwa maneno mengine anasema " wale wanaokula sadaka wanashiriki katika shughuli na baraka za madhabahu"
|
|
|
|
# Nasema nini basi?
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya:- " kwa kufanya marudio ya kile nilichosema" au " Hiki ndicho ninacho maanisha"
|
|
|
|
# kuwa sanamu ni kitu?
|
|
|
|
"Tambueni ninachosema kuwa sanamu siyo kitu halisi"
|
|
|
|
# Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?
|
|
|
|
" Mnafahamu sisemi chakula kilichotelewa sadaka kwa sanamu si kitu muhimu"
|