forked from WA-Catalog/sw_tn
657 B
657 B
Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya. kwa maneno mengine anasema " wale wanaokula sadaka wanashiriki katika shughuli na baraka za madhabahu"
Nasema nini basi?
Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya:- " kwa kufanya marudio ya kile nilichosema" au " Hiki ndicho ninacho maanisha"
kuwa sanamu ni kitu?
"Tambueni ninachosema kuwa sanamu siyo kitu halisi"
Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?
" Mnafahamu sisemi chakula kilichotelewa sadaka kwa sanamu si kitu muhimu"