sw_tn/1co/10/18.md

657 B

Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?

Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya. kwa maneno mengine anasema " wale wanaokula sadaka wanashiriki katika shughuli na baraka za madhabahu"

Nasema nini basi?

Paulo anawakumbusha Wakorintho jambo wanalolifahamu ili baada ya hapo awape habari mpya:- " kwa kufanya marudio ya kile nilichosema" au " Hiki ndicho ninacho maanisha"

kuwa sanamu ni kitu?

"Tambueni ninachosema kuwa sanamu siyo kitu halisi"

Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?

" Mnafahamu sisemi chakula kilichotelewa sadaka kwa sanamu si kitu muhimu"