forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
588 B
Markdown
24 lines
588 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kuwa Mungu anataka wawe watakatifu kwa sababu Kristo aliwanunu kwa kifo chake.
|
|
|
|
# Kila kitu ni halali kwangu
|
|
|
|
Mungu ameniruhusu kufanya kila kitu.
|
|
|
|
# lakini si kila kitu kina faida
|
|
|
|
Lakini si kila kitu ni kizuri kwangu
|
|
|
|
# Sitatawaliwa na chochote kati hivyo
|
|
|
|
Sitaruhusu vitu hivi vinitawale
|
|
|
|
# "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa chakula," lakini Mungu atavitowesha vyote
|
|
|
|
""Wengine husema 'chakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa chakula; ' lakini Mungu atavitowesha vyotetumbo na chakula"
|
|
|
|
# kutowesha
|
|
|
|
"kuharibu"
|