forked from WA-Catalog/sw_tn
588 B
588 B
Sentensi Unganishi
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kuwa Mungu anataka wawe watakatifu kwa sababu Kristo aliwanunu kwa kifo chake.
Kila kitu ni halali kwangu
Mungu ameniruhusu kufanya kila kitu.
lakini si kila kitu kina faida
Lakini si kila kitu ni kizuri kwangu
Sitatawaliwa na chochote kati hivyo
Sitaruhusu vitu hivi vinitawale
"Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa chakula," lakini Mungu atavitowesha vyote
""Wengine husema 'chakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa chakula; ' lakini Mungu atavitowesha vyotetumbo na chakula"
kutowesha
"kuharibu"