sw_tn/1co/06/12.md

588 B

Sentensi Unganishi

Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kuwa Mungu anataka wawe watakatifu kwa sababu Kristo aliwanunu kwa kifo chake.

Kila kitu ni halali kwangu

Mungu ameniruhusu kufanya kila kitu.

lakini si kila kitu kina faida

Lakini si kila kitu ni kizuri kwangu

Sitatawaliwa na chochote kati hivyo

Sitaruhusu vitu hivi vinitawale

"Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa chakula," lakini Mungu atavitowesha vyote

""Wengine husema 'chakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa chakula; ' lakini Mungu atavitowesha vyotetumbo na chakula"

kutowesha

"kuharibu"