sw_tn/1co/05/09.md

443 B

wazinzi

Hii inahusu watu wanaokiri kuamini katika Kristo lakini wana tabia mbaya.

Wazinzi wa dunia hii

Watu waliochagua kuishi katika maisha uzinzi,ambao si waumini

wenye tamaa

"Wale walio na tamaa" au "Wale waliotayari kupoteza heshima ili kupata kitu wanchotamani"

Wanyang'anyi

Hii ina maana watu ambao"wanadanganya au tapeli mali za watu wengine"

basi ingewapasa mtoke duniani.

" ingeliwabidi kukaa mbali na watu wote"