|
# Kwa hiyo,msitamke hukumu
|
|
|
|
Kwa kuwa Mungu atahukumu atakaporudi, tusihukumu.
|
|
|
|
# atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo
|
|
|
|
Mungu ataweka wazi mawazo na dhamira za watu. Hakuna kitakachofichika mbele za Bwana.
|
|
|
|
# ya mioyo
|
|
|
|
"ya mioyo ya watu"
|