sw_tn/1co/04/05.md

273 B

Kwa hiyo,msitamke hukumu

Kwa kuwa Mungu atahukumu atakaporudi, tusihukumu.

atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo

Mungu ataweka wazi mawazo na dhamira za watu. Hakuna kitakachofichika mbele za Bwana.

ya mioyo

"ya mioyo ya watu"