sw_tn/1co/01/18.md

502 B

Sentensi Unganishi

Paul anasisitiza Hekima ya Mungu dhidi ya hekima ya kibidamu

ujumbe wa msalaba

"Mahubiri kuhusu kusulubiwa"au "ujumbe kuhusu kufa kwa Kristo msalabani."

ni upuuzi

"haina maana" au "ni upumbavu"

Kwa wale wanaokufa

Hapa "kufa" inamaanisha hatua ya kifo cha kiroho.

ni nguvu ya Mungu

" Mungu anafanya kazi katika utu wetu wa ndani"

Nitaiharibu hekima ya wenye busara

" nitaharibu busara za watu" au " nitaifanya mipango ya watu wenye busara isifanikiwe kabisa"