forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
502 B
Markdown
24 lines
502 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paul anasisitiza Hekima ya Mungu dhidi ya hekima ya kibidamu
|
||
|
|
||
|
# ujumbe wa msalaba
|
||
|
|
||
|
"Mahubiri kuhusu kusulubiwa"au "ujumbe kuhusu kufa kwa Kristo msalabani."
|
||
|
|
||
|
# ni upuuzi
|
||
|
|
||
|
"haina maana" au "ni upumbavu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa wale wanaokufa
|
||
|
|
||
|
Hapa "kufa" inamaanisha hatua ya kifo cha kiroho.
|
||
|
|
||
|
# ni nguvu ya Mungu
|
||
|
|
||
|
" Mungu anafanya kazi katika utu wetu wa ndani"
|
||
|
|
||
|
# Nitaiharibu hekima ya wenye busara
|
||
|
|
||
|
" nitaharibu busara za watu" au " nitaifanya mipango ya watu wenye busara isifanikiwe kabisa"
|