sw_tn/1co/01/18.md

24 lines
502 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi Unganishi
Paul anasisitiza Hekima ya Mungu dhidi ya hekima ya kibidamu
# ujumbe wa msalaba
"Mahubiri kuhusu kusulubiwa"au "ujumbe kuhusu kufa kwa Kristo msalabani."
# ni upuuzi
"haina maana" au "ni upumbavu"
# Kwa wale wanaokufa
Hapa "kufa" inamaanisha hatua ya kifo cha kiroho.
# ni nguvu ya Mungu
" Mungu anafanya kazi katika utu wetu wa ndani"
# Nitaiharibu hekima ya wenye busara
" nitaharibu busara za watu" au " nitaifanya mipango ya watu wenye busara isifanikiwe kabisa"