sw_tn/1co/01/12.md

622 B

Kila mmoja wenu husema

Paulo anaelezea kwa ujumla tabia ya mgawanyiko

Je! Kristo amegawanyika?

Paulo ataka kuweka makazo kuhusu ukweli kwamba Kristo hajagawanyika lakini ni mmoja. "Haiwezekani kumgawanya Kristo katika namna mnayofanya."

Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu?

Paulo anapenda kuweka mkazo kwamba alikuwa Kristo aliyesulubiwa wala si Paulo au Apolo. " ni ni ukweli uliowazi kuwa hawakumuua Paulo pale msalabani kwa ajili ya wokovu wenu."

Mlibatizwa kwa jina la Paulo?

Paulo anaweka mkazo kwamba wote tunabatizwa katika jina la Kristo. " Na Watu hawakuwabatiza ninyi katika jina la Paulo."