forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
622 B
Markdown
16 lines
622 B
Markdown
|
# Kila mmoja wenu husema
|
||
|
|
||
|
Paulo anaelezea kwa ujumla tabia ya mgawanyiko
|
||
|
|
||
|
# Je! Kristo amegawanyika?
|
||
|
|
||
|
Paulo ataka kuweka makazo kuhusu ukweli kwamba Kristo hajagawanyika lakini ni mmoja. "Haiwezekani kumgawanya Kristo katika namna mnayofanya."
|
||
|
|
||
|
# Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu?
|
||
|
|
||
|
Paulo anapenda kuweka mkazo kwamba alikuwa Kristo aliyesulubiwa wala si Paulo au Apolo. " ni ni ukweli uliowazi kuwa hawakumuua Paulo pale msalabani kwa ajili ya wokovu wenu."
|
||
|
|
||
|
# Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
|
||
|
|
||
|
Paulo anaweka mkazo kwamba wote tunabatizwa katika jina la Kristo. " Na Watu hawakuwabatiza ninyi katika jina la Paulo."
|