forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
790 B
Markdown
28 lines
790 B
Markdown
# sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kwamba wanapaswa kuishi katika umoja na katika ujumbe wa msalaba wa Kristo, siyo ubatizo wa watu unaoleta wokovu.
|
|
|
|
# kaka na dada zangu
|
|
|
|
Hii inamaana washirika wote wakristo, ikijumuisha wote wanawake na wanaume.
|
|
|
|
# kwamba wote mkubali
|
|
|
|
" kuishi katika hali ya upatanifu na ushirikiano"
|
|
|
|
# kwamba kusiwe na migawanyiko miongoni mwenu
|
|
|
|
" kusiwe na migawanyiko ya makundi makundi miongoni mwenu"
|
|
|
|
# kwamba muungane pamoja katika nia moja na katika kusudi
|
|
|
|
" muishi katika hali ya umoja"
|
|
|
|
# watu wa nyumba ya Kloe
|
|
|
|
Hii inahusu wanafamilia, wafanyakazi, na watu wengine ambao ni sehemu ya kaya ambayo Chloe ni mwanamke kiongozi.
|
|
|
|
# kuna mgawanyiko unaoendelea miongoni mwenu
|
|
|
|
" kuna makundi yenye migogoro na kugombana kati yenu"
|