sw_tn/1co/01/10.md

790 B

sentensi unganishi

Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kwamba wanapaswa kuishi katika umoja na katika ujumbe wa msalaba wa Kristo, siyo ubatizo wa watu unaoleta wokovu.

kaka na dada zangu

Hii inamaana washirika wote wakristo, ikijumuisha wote wanawake na wanaume.

kwamba wote mkubali

" kuishi katika hali ya upatanifu na ushirikiano"

kwamba kusiwe na migawanyiko miongoni mwenu

" kusiwe na migawanyiko ya makundi makundi miongoni mwenu"

kwamba muungane pamoja katika nia moja na katika kusudi

" muishi katika hali ya umoja"

watu wa nyumba ya Kloe

Hii inahusu wanafamilia, wafanyakazi, na watu wengine ambao ni sehemu ya kaya ambayo Chloe ni mwanamke kiongozi.

kuna mgawanyiko unaoendelea miongoni mwenu

" kuna makundi yenye migogoro na kugombana kati yenu"