forked from WA-Catalog/sw_tn
473 B
473 B
Kwa hiyo
"Kama matokeo"
hampungukiwi karama za kiroho
"kuwa na kila uwezo wa rohoni"
Ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo
Yawezekana maana ni 1)Wakati Mungu atakapo mfunua Bwana Yesu Kristo" au 2)"Wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakapojidhihirisha yeye mwenyewe."
msilaumiwe
Kusiwepo sababu yoyote ya kulaumiwa na Mungu
Mungu ni mwaminifu
Mungu atatimiza jambo lolote ambalo ameahidi kufanya.
mwana wake
Ni cheo cha Yesu Kristo, yaani "Mwana wa Mungu"