sw_tn/1co/01/07.md

473 B

Kwa hiyo

"Kama matokeo"

hampungukiwi karama za kiroho

"kuwa na kila uwezo wa rohoni"

Ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo

Yawezekana maana ni 1)Wakati Mungu atakapo mfunua Bwana Yesu Kristo" au 2)"Wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakapojidhihirisha yeye mwenyewe."

msilaumiwe

Kusiwepo sababu yoyote ya kulaumiwa na Mungu

Mungu ni mwaminifu

Mungu atatimiza jambo lolote ambalo ameahidi kufanya.

mwana wake

Ni cheo cha Yesu Kristo, yaani "Mwana wa Mungu"