forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
473 B
Markdown
24 lines
473 B
Markdown
|
# Kwa hiyo
|
||
|
|
||
|
"Kama matokeo"
|
||
|
|
||
|
# hampungukiwi karama za kiroho
|
||
|
|
||
|
"kuwa na kila uwezo wa rohoni"
|
||
|
|
||
|
# Ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
Yawezekana maana ni 1)Wakati Mungu atakapo mfunua Bwana Yesu Kristo" au 2)"Wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakapojidhihirisha yeye mwenyewe."
|
||
|
|
||
|
# msilaumiwe
|
||
|
|
||
|
Kusiwepo sababu yoyote ya kulaumiwa na Mungu
|
||
|
|
||
|
# Mungu ni mwaminifu
|
||
|
|
||
|
Mungu atatimiza jambo lolote ambalo ameahidi kufanya.
|
||
|
|
||
|
# mwana wake
|
||
|
|
||
|
Ni cheo cha Yesu Kristo, yaani "Mwana wa Mungu"
|