sw_tn/1ch/29/29.md

16 lines
374 B
Markdown

# yameandikwa katika historia ya Samweli nabii, katika historia ya Nathani nabii, na katika historia ya Gadi nabii
Hii ni kazi isiyo kuwepo tena.
# Yalio ekwa kwenye kumbukumbu ni matendo
"Mtu mmoja aliandika hapo matendo"
# matendo ya utawala wake
"mambo yaliyo tokea wakati Daudi akiwa mfalme"
# mambo yalio mdhuru
"Mambo ya mataifa mengine yaliyo hathiri Israeli"