sw_tn/1ch/29/29.md

374 B

yameandikwa katika historia ya Samweli nabii, katika historia ya Nathani nabii, na katika historia ya Gadi nabii

Hii ni kazi isiyo kuwepo tena.

Yalio ekwa kwenye kumbukumbu ni matendo

"Mtu mmoja aliandika hapo matendo"

matendo ya utawala wake

"mambo yaliyo tokea wakati Daudi akiwa mfalme"

mambo yalio mdhuru

"Mambo ya mataifa mengine yaliyo hathiri Israeli"