sw_tn/1ch/29/14.md

379 B

Maelezo ya Jumla

Daudi anaendeleza maombi yake sifa kwa Yahweh

Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, tustahili kutoa kwa hiari hivi vitu?

Daudi anamaanisha yeye na watu wake hawastahili sifa kwa kumpa chochote Yahweh.

sisi ni wageni na wasafiri mbele zako

"Unajua sisi si wa muhimu"

Siku zetu katika dunia ni kama kivuli

Vivuli vinatokeza na kutoeka haraka.