sw_tn/1ch/28/20.md

520 B

hodari na mjasiri

Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima awe shujaa.

Usiogope au kuwa na wasiwasi

Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima asikate tamaa. "Kuwa hodari" au "Kuwa Mjasiri"

yupo nawe

"nitakusaidia wewe"

Hatakuacha wala kukutelekeza

Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Yahweh ata kuwa daima na Sulemani. "Ata kuwa nawe daima"

hivi ni vitengo vya makuhani na Walawi

Ona jinsi ulivyo tafsiri 28:13