sw_tn/1ch/28/04.md

427 B

Taarifa za jumla:

Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli.

mfalme wa Israeli milele

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi na uzao wake utatawala milele au 2)Daudi ataendelea kuwa mfalme wa Israeli baada ya kufufuka kutoka wafu.

Israeli yote

"ardhi yote ya Israeli'' au "Waisraeli wote"

kuketi katika kiti cha enzi

"kutawala" au "kuwa mfalme wa"

ufalme wa Yahweh, juu ya Israeli

"Israeli ambayo ni ufalme wa Yahweh"