sw_tn/1ch/27/10.md

792 B

Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu

"Helezi, Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu, alikuwa mkuu wa mwezi wa saba"

mwezi wa saba

Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Septemba na mwanzo wa Oktoba kwa kalenda za Kimagharibi.

Helezi ... Sibekai ... Zera ... Abi Ezeri

Haya ni majina ya wanaume.

Mpeloni ... Mhushathi ... Manathothi

Haya ni majinaya makabila au koo.

wanaume elfu ishirini na nne

wanaume ekfu nne "wanaume 24,000"

mwezi wa nane

Huu ni mwezi wa nane wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Oktoba na mwanzo wa Novemba kwa kalenda za Kimagharibi.

mwezi wa tisa

Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Novemba na mwanzo wa Desemba kwa kalenda za Kimagharibi.