sw_tn/1ch/27/07.md

32 lines
722 B
Markdown

# Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu
"Asaheli, kaka wa Yoabu, alikuwa mkuu wa mwezi wa nne"
# mwezi wa nne
Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Juni na mwanzo wa Julai kwa kalenda za Kimagharibi.
# Asaheli ... Ikeshi
Haya ni majina ya wanaume.
# kikosi chake
"kundi lake la jeshi"
# wanaume elfu ishirini na nne
wanaume elfu nne "wanaume 24,000"
# mwezi wa tano
Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Julai na mwanzo wa Agusti kwa kalenda za Kimagharibi.
# mwezi wa sita
Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Agusti na mwanzo wa Septemba kwa kalenda za Kimagharibi.
# Tekoa
Hili ni jina la sehemu.