sw_tn/1ch/27/07.md

722 B

Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu

"Asaheli, kaka wa Yoabu, alikuwa mkuu wa mwezi wa nne"

mwezi wa nne

Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Juni na mwanzo wa Julai kwa kalenda za Kimagharibi.

Asaheli ... Ikeshi

Haya ni majina ya wanaume.

kikosi chake

"kundi lake la jeshi"

wanaume elfu ishirini na nne

wanaume elfu nne "wanaume 24,000"

mwezi wa tano

Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Julai na mwanzo wa Agusti kwa kalenda za Kimagharibi.

mwezi wa sita

Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Agusti na mwanzo wa Septemba kwa kalenda za Kimagharibi.

Tekoa

Hili ni jina la sehemu.