sw_tn/1ch/26/31.md

359 B

Hebroni

Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:12

Yerija

Namna nyingine ya kuandika "Yeria." Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:19

walihesabiwa kutoka orodha

"majina yao yalikuwa kwenye orodha"

Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi

"Daudi alipo kuwa mfalme kwa miaka 40"

Yazeri

Hili ni jina la mwanaume.

ndugu 2,700

"elfu mbili na mia saba ndugu"