sw_tn/1ch/23/12.md

440 B

Maelezo ya Jumla

Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao.

Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi

"Kohathi alikuwa na wana 4"

Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu

"Yahweh alimchagua Aruni kuvitoa vitu vitakatifu"

kumpa baraka kwa jina lake

"kuwa bariki watu kama wa wakilishi wa Mungu milele"

wana wake walihesabiwa kuwa Walawi

"wana wake walikuwa sehemu ya ukoo wa Walawi" Wana wa Musa walikuwa Walawi.