sw_tn/1ch/23/01.md

337 B

Maelezo ya Jumla

Daudi anamteua Sulemani kama mrithi wake na anapanga makuhani wa Kiwalawi na wafanya kazi wa huduma za hekaluni

Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa

"Baadhi ya wanaume wa Daudi waliwahesabu Walawi walikuwa na miaka 30 na zaidi"

Idadi ya elfu thelathini na nane

elfu nane "Walikuwa 38,000"