sw_tn/1ch/22/09.md

535 B

Maelezo ya Jumla

Daudi anaendelea kumuambia Sulemani kile Yahweh alicho mwambia.

kila upande

Hii ina maana ya kila sehemu kuzunguka Israeli.

katika siku zake

"wakati akitawala Israeli yote"

nyumba kwa jina langu, na nitakuwa baba yake

"hekalu la kunitukuza"

Ata kuwa mwana wangu

Mungu ata mtendea Sulemani kama alikuwa ni mwanae wa pekee.

Nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake juu ya Israeli

Hapa "kiti cha enzi" cha husu mamlaka ya kutawala kama mfalme. "Nitafanya uzao wake utawale juu ya Israeli milele"