sw_tn/1ch/22/06.md

453 B

kuitwa

"Daudi aliita"

kumuamuru ajenge ... dhamira yangu kujenga

"aliwaamuru wafanya kazi kujenga ... mpango wangu ulikuwa kuajiri wafanya kazi kujenga"

kwa ajili ya jina la Yahweh Mungu wangu

"kumheshimu Yahweh Mungu wangu"

umemwaga damu nyingi

"umeua watu wengi"

Hauta jenga nyumba kwa jina langu

"Hauta jenga hekalu kunitukuza mimi"

kwasababu umemwaga damu nyingi kwenye ardhi machoni pangu

"kwasbabu ninajua umeua watu wengi"