sw_tn/1ch/21/06.md

463 B

Lakini Levi na Benjamini hawakus hesabiwa miongoni mwao

" Lakini Yoabu hakuwa hesabu wanaume kutoka makabila ya Levi na Benjaminini"

kwa hili tendo

"tendo hili" limemaanisha katika mpango wa Daudi kuhesabu wanaume wote wa Israeli wenye uwezo wa kupigana.

chukua hatia ya mtumishi wako

Msamaha unafafanuliwa kama kuwa na hatia halafu ikaondolewa. "Nisamehe mimi"

hatia ya mtumishi wako

Daudi anajitaja mwenyewe kama mtumishi wa Mungu. "hatia yangu"