sw_tn/1ch/21/04.md

282 B

Neno la mfalme halikubadilika

Mstari huu wahusu amri ya mfalme Daudi kuwa ya mwisho kwasababu hatabadili amri yake baada ya kuitoa. "amri ya mfalme haitakuja kubadilika"

wanaume waliobeba upanga

Maaskari wa Israeli walielezewa kwa kitendo cha kuvuta upanga na kupigana nao.