sw_tn/1ch/19/01.md

443 B

Nahashi ... Hanuni

Haya ni majina ya wanaume.

Nitaonyesha ukarimu ... alionyesha ukarimu

"Nitakuwa mkarimu ... alikuwa mkarimu"

kumfariji

"kuliwaza"

Unadhani Daudi anamheshimu baba yako sababu ametuma watu kukufaraji?

"Usidhani kuwa Daudi ana muheshimu baba yako kwasababu ametuma wanaume kukufariji."

Je watumishi wake hawajaja kutadhimini nchi iliwaipindue?

"Hakika watumishi wanakuja kwako kudadisi nchi ili waipindue."