forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
443 B
Markdown
20 lines
443 B
Markdown
|
# Nahashi ... Hanuni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Nitaonyesha ukarimu ... alionyesha ukarimu
|
||
|
|
||
|
"Nitakuwa mkarimu ... alikuwa mkarimu"
|
||
|
|
||
|
# kumfariji
|
||
|
|
||
|
"kuliwaza"
|
||
|
|
||
|
# Unadhani Daudi anamheshimu baba yako sababu ametuma watu kukufaraji?
|
||
|
|
||
|
"Usidhani kuwa Daudi ana muheshimu baba yako kwasababu ametuma wanaume kukufariji."
|
||
|
|
||
|
# Je watumishi wake hawajaja kutadhimini nchi iliwaipindue?
|
||
|
|
||
|
"Hakika watumishi wanakuja kwako kudadisi nchi ili waipindue."
|