sw_tn/1ch/17/11.md

387 B

siku zako zitapo timia

Maisha yana tajwa kama idadi kadhaa za siku. "utakapo kufa"

kwenda kwa baba zako

Haya maneno yaeleza kifo kama sehemu mababu wa Daudi walipo kwasababu wamekufa tayari.

nitainua uzao wako

Kumueka mtu katika uongozi ya tajwa kama kumuinua juu sana.

nitaimarisha kiti chake cha enzi

Haki ya kutawala kama mfalme imeelezwa kama sehemu ya mfalme kuishi.