sw_tn/1ch/17/03.md

403 B

neno la Mungu lilimjia

"Mungu alizungumza neno lake"

niliyo ileta Israeli

"kwamba nili waleta Waisraeli kwenye nchi ya ahadi kutoka Misri"

hema, hema la kukusanyikia

Yote haya maneno "hema" na "hema la kukusanyikia" ya eleza kitu kimoja na kutia mkazo kwamba aliishi katika jengo lisilo la kudumu.

Kwa nini haujanijengea mimi nyumba ya mierez?

"Ungenijenga nyumba yenye mbao za gharama."