sw_tn/1ch/14/01.md

326 B

Hiramu

Jina la mfalme

maseremala

Hawa ni watu ambao kazi yao ni kufanya vitu vya mbao.

wajenzi

Hawa ni watu wa kufanya vitu kwa mawe au tofali.

alimfanya kuwa

"kumfanya"

ufalme wake ulitukuzwa juu sana kwa ajili ya watu wa Israeli

"Yahweh alimpa Daudi heshima katika ufalme wake kuwasaidia watu wa Israeli"