sw_tn/1ch/12/08.md

196 B

ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba

"walio kuwa wakali sana"

Walikuwa wepesi kama swala

"Walikuwa wana mbio sana"

swala

Hawa ni wanyama walio wa pole na wepesi, mfano wa ayala.