sw_tn/mat/11/09.md

36 lines
1.2 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentesi unganishi:
Yesu aliendelea kuongea na umati kuhusu Yohana Mbatizaji.
# Maelezo kwa ujumla
Katika mstari wa 10, Yesu anamnukuru nabii Malaki kuonyesha kuwa maisha na huduma ya Yohana imetimiza unabii.
2021-09-10 23:29:28 +00:00
# Lakini mliondoka kuona nini--nabii?
2018-04-12 01:01:04 +00:00
Yesu anatumia swali ili kuwafikirisha watu juu ya Yohana mbatizaji kuwa ni mtu wa aina gani. "Lakinini kweli kwamba mlienda jajngwani kumuona nabii"
2021-09-10 23:29:28 +00:00
# Lakini mlienda nje kuona nini--nabii? Ndiyo, nawaambia nyinyi.
2018-04-12 01:01:04 +00:00
Kiwakilishi cha wingi ''nyinyi'' inarejelea kwa katika hali zote.
# ni zaidi ya nabii
Hii inaweza kutafsirika kama sentensi timilifu. "Siyo nabii wa kawaida" au ''siyo mtu wa kawaida'' au ''ni wa muhimu kuliko nabii wa kawaida''
# huyu ndiye aliye andikiwa
Hii inaweza kutafsirika katik mfumo tendaji. "Hiki ndicho nabii Malaki aliandika zamamni za kale kuhusu Yohana mbatizaji"
# namtuma mjumbe wangu
Kiwakilishi ''na'' na ''wangu'' kinamrejea Mungu. Malaki ananukuu ambacho Mungu alisema.
# mbele ya uso wako
Kiwakilishi "wako" ni cha umoja kwa sababu Mungu alikuwa anasema juu ya Masihi katika nukuu.vPia "uso" inamaanisha nafsi timilifu, "mbele yako" au "kutangulia"
# ataandaa njia yako
Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa mjumbe atawaandaa watu kupokea ujumbe wa Masihi.