Katika sura hii Yohana anafundisha kwamba Wakristo wote bado ni wenye dhambi. Lakini Mungu anaendelea kusamehe dhambi za Mkristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/forgive]])
Katika sura hii Yohana anaandika kwamba Mungu ni mwanga. Mwanga ni mfano ya ufahamu na uadilifu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
Yohana pia anaandika kuhusu watu wanaotembea katika nuru au katika giza. Kutembea ni mfano ya tabia au kuishi. Watu wanaotembea katika mwanga huelewa kilicho haki na kukifanya. Watu wanaotembea katika giza hawawezi kuelewa yaliyo sawa, na wanatenda dhambi.