forked from WA-Catalog/sw_tn
23 lines
823 B
Markdown
23 lines
823 B
Markdown
|
# Matendo 14 Maelezo kwa jumla
|
||
|
|
||
|
### Dhana Maalum katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### "Ujumbe wa neema yake"
|
||
|
|
||
|
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/grace and rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
|
||
|
|
||
|
#### Zeu na Herme
|
||
|
|
||
|
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/falsegod)
|
||
|
|
||
|
### Maswala mengine tata kwenye tafsiri ya sura hii.
|
||
|
|
||
|
#### "Lazima tuingie kwenye ufalme wa Mungu kupitia mateso mengi"
|
||
|
|
||
|
Yesu aliwaambia wafuasi wake kabla hajafa kwamba kila anayemfuata angepata mateso. Paulo anayarudia maneno hayo kupitia maneno tofauti na hayo.
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Acts 14:1](../../act/14/01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__
|