forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
745 B
Markdown
29 lines
745 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa sehemu juu ya habari inayohusu Kornelio.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inatupa mrejesho wa taarifa kuhusu yeye.
|
||
|
|
||
|
# Kulikuwa na mtu fulani
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ni njia ya kutambulisha mtu mwingine katika habari.
|
||
|
|
||
|
# jina lake aliitwa Cornelio, alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiitalia
|
||
|
|
||
|
"jina lake aliitwa Kornelio. alikuwa ni mtu mwenye cheo wa maaskari 100 kutoka Italia katika sehemu ya jeshi la Rumi"
|
||
|
|
||
|
# Alikuwa mcha Mungu na alimwabudu Mungu
|
||
|
|
||
|
"Aliamini katika Mungu na alitaka kumtii Mungu na kumwabudu Mungu katika maisha yake"
|
||
|
|
||
|
# na nyumba yake yote
|
||
|
|
||
|
"na watu wote wengine wa nyumbani kwake ambao pengine walikuwa wa mataifa walimcha Mungu"
|
||
|
|
||
|
# aliomba kwa Mungu siku zote.
|
||
|
|
||
|
Alikuwa akimwomba Mungu wakati wote.
|
||
|
|